![]() |
| Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, akiteta jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kabla ya kuhutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Shinyanga |
![]() |
| Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, Musukuma akimwaga sera za Chama kwa wananchi wakati wa mkutano huo |
![]() |
| Samia akihutubia wananchi wakati wa mkutano huo |
![]() |
| Wananchi wakipunga mikono hewani kushangilia hotuba ya Samia |
![]() |
| Mrembo wa zamani wa Tanzania na mcheza filamu maarufu, Wema Sepetu akiwahamasisha wananchi kuichagua CCM wakati wa mkutano huo |
![]() |
| Ole Sendeka akihutubia wananchi |






No comments:
Post a Comment