Friday 8 April 2016

SIMBACHAWENE AKUTANA NA GRACA MACHEL




Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene (kulia) akiteta jambo na Mama Graca Machel (kushoto) mara baada ya mazungumzo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. George Simbachawene (kulia) akiagana na Mama Graca Machel (kushoto) mara baada ya mazungumzo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam.

(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment