Sunday, 31 January 2016

MAJALIWA USO KWA USO NA LOWASSA



Waziri MkuuKassim Majaliwa  akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa katika ibada ya kumuingiza kazini Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Frederick Shoo kwenye kanisa Kuu la KKKT mjini Moshi Januari 31, 2016.

No comments:

Post a Comment