Monday 7 December 2015

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA BENKI YA DUNIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli akisalimiana na mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird alipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Magufuli akisalimiana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia,Bi. Bella Bird alipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Magufuli akiwa katika mazungumzo na Bi Bella Bird
Rais Magufuli akiagana na Bi Bella Bird

No comments:

Post a Comment