Saturday 9 April 2016

DK. SHEIN ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI


Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dkt. Ali Mohamed Shein leo Jumamosi, April 9, 2016 ametangaza Baraza jipya Mawaziri litakalosimamia kazi za serikali kwa kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake.
Dkt. Shein amesema amepunguza ukubwa wa baraza hilo la Mapinduzi kutoka wizara 16 hadi kuwa wizara 13 zenye Mawaziri ni 13 na Manaibu waziri 7 na taasisi za wizara alizozivunja amezihamishia ambapo  katika baadhi ya wizara za sasa.
mawaziri hao watawaapisha kesho Jumapili asubuhi katika Viwanja vya Ikulu visiwani Zanzibar.

Baraza la Mawaziri Zanzibar hao ni;
1). Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
      Mhe. Issa Haji Ussi Gavu.

2). Wizara nchi Afisi ya Rais Katiba  Sheria Utumishi wa Umma na utawala bora –
     Mhe. Haroun Ali Sleiman.
    Naibu Waziri Ofisi ya Rais,Katiba .Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora
      Mhe. Khamis Juma Maalim. 

3). Wizara ya nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za mitaa na Idara maalum za SMZ
      Mhe. Haji Omari Kheir.

4). Wizara ya nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa  Rais
      Mhe. Mohammaed  Aboud. Mohammed

5). Waziri wa Fedha na Mipango
      Mhe. Dk. Khalid Salum Mohd.

6). Wizara ya Afya
      Mhe Mahmoud Thabit Kombo.
Naibu Wizaya ya Afya .
      Mhe.Harusi Said Suleiman.

7). Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
      Mhe.Riziki Pembe Juma
Naibu Waziri Elimu na Mafunzo ya Amali.
      Mhe, Mmanga Mjengo Mjawiri.

8). Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko.
      Mhe. Balozi Amina Salum Ali.

9). Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi na Usafirishaji
     Mhe Balozi Ali Karume
Naibu Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi na Usafirishaji
Mhe.Mohamed Ahmed Salum.

10). Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo
         Mhe.Rashid Ali Juma
Naibu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo.
          Mhe.Chumu Kombo Khamis.

11).Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi
        Mhe.Hamad Rashid Mohd
Naibu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi.
   Mhe.Lulu Msham Juma.

12).Wizara ya  Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto.
        Mhe.Mauldine Castiko.

13). Wizara ya Maji Ardhi Nishati na Mazingira.
       Mhe.Salama Aboud Talib.
 Niabu Waziri Maji Ardhi Nishati na Mazingira.
       Mhe.Juma Makungu Juma.


MANAIBU WAZIRI 
Harusi Said Suleiman – Wizara ya Afya
Mmanga mjengo Mjawili – Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Mahamed Ahmed Salum – Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi
Lulu Mshamu Khamis – Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi
Chum Kombo Khamis – Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo
Juma Makungu Juma – Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira
Khamis Juma Maalim – Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora.

No comments:

Post a Comment