![]() |
Mgombea urais wa CCM, John Magufuli akisindikizwa kuingia kwenye viwanja vya Azimio mjini Singida |
![]() |
Dk Magufuli akimwaga sera za CCM wakati wa mkutano huo |
![]() |
Dk. Magufuli akimshukuru mbunge wa zamani wa Singida Mjini, Mohamed Dewji (kushoto) na mkuu wa mkoa wa Singida, Pastory Kone |
![]() |
Mbunge wa zamani wa viti maalumu wa mkoa wa Singida, Diana Chilolo akimuombea kura Dk. Magufuli |
![]() |
Mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, Mwigulu Nchemba akitema cheche wakati wa mkutano huo |
![]() |
Mjumbe wa kamati ya ushindi ya CCM, January Makamba akifafanua jambo kwa wananchi |
![]() |
Mohammed Dewji akiwakumbusha jambo wananchi |
![]() |
Sehemu ya umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo |
![]() |
Nchemba akiinua mikono kumkaribisha Dk. Magufuli |
![]() |
Dk. Magufuli akijadiliana jambo na Nchemba |
![]() |
Dk Magufuli akimkabidhi ilani ya uchaguzi mgombea ubunge wa Singida Mjini |
No comments:
Post a Comment