Tuesday 2 May 2017

SERIKALI YAAHIDI KUTOA AJIRA 52,000



RAIS Dk. John Magufuli, ameahidi ajira 52,000, pamoja na kuboresha maslahi ya wafanyakazi, ikiwemo kuongeza mishahara na kuwapandisha madaraja wote wanaostahili kuanzia mwaka ujao wa fedha.

Pia, ameahidi kuendelea kulipa madeni ya wafanyakazi, ambayo kwa kiasi kikubwa yametokana na gharama za uhamisho huku akiagiza wafanyakazi kutokubali kuhama kituo cha kazi bila kulipwa fedha zao stahiki.

Rais Dk. Magufuli alitoa ahadi hiyo jana, katika hotuba yake ya Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika, mkoani Kilimanjaro.

Alisema utekeleaji wa ahadi hizo hauna shaka na kusisitiza kuwa, serikali itazitekeleza.

Aidha, alitumia fursa hiyo kusisitiza kuwa, ifikapo Mei 15, mwaka huu, itakuwa kikomo cha wafanyakazi wenye vyeti vya kughushi, ambao walibainika kufuatia ukaguzi uliofanywa nchi nzima na ripoti kuwasilishwa kwake, Jumamosi iliyopita na Waziri wa Utumishi, Angela Kairuki.

Katika hotuba hiyo, Rais Magufuli aliwashukuru wafanyakazi na wananchi kwa ujumla, kwa uvumilivu wao tangu kuingia madarakani kwa serikali ya awamu ya tano, ambayo ilisitisha kwa muda ajira na ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma.

Alisema lengo lilikuwa ni kutatua changamoto za ajira zilizoko kwenye mashirika na taasisi za umma, ambazo kwa kiasi kikubwa zilisababisha serikali kupoteza kiasi kikubwa cha fedha kwa malipo ya watumishi hewa na wasiostahili.

Rais Magufuli alisema nia ya serikali yake kwa wananchi ni nzuri na kwamba ni muhimu wafanyakazi na wananchi wakaendelea kuielewa na kuiunga mkono ili ifikie malengo yatakayotoa maisha mazuri kwa wafanyakazi wa sekta zote.

Akizungumza kwa furaha kutokana na uwepo wa maelfu ya wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro na mikoa ya jirani, waliojitokeza kumsikiliza, Rais Magufuli alisema anataka wafanyakazi waishi vizuri.

"Nataka wafanyakazi waishi vizuri, tuombe mtuvumilie tu, kwa sababu tuliona kabla ya kuongeza mishahara ni vema tuwaondoe wanaopata mishahara hiyo bila kustahili. Tulitaka kusafisha kwanza nyumba," alisema Rais Magufuli.

Alisema wafanyakazi ni kundi muhimu kwenye maendeleo ya taifa lolote, hivyo Tanzania kwa nafasi yake, inalithamini na kwamba, amefurahishwa na uongozi wa sasa wa TUCTA, ambao umefanyakazi kubwa kuunganisha wafanyakazi wote nchini.

"Huu uongozi wenu wa sasa ninaupongeza sana, sijui mliuchaguaje, unachapa kazi kweli kweli. Ninawaahidi sitawaangusha, ahadi yangu ya kuwaongezea mishahara, kulipa marupurupu na kupandisha madaraja nitatekeleza.

"Sina ahadi hewa mimi, mwaka huu unaoanza ni wa kushughulika na wafanyakazi hewa, kwa hiyo mwakani tukikutana tena kama hivi, naamini Inshaallah, mambo yatakuwa mazuri sana," alisisitiza Rais Magufuli.

Kuhusu madeni ya wafanyakazi, alisema tangu serikali yake ilipoingia madarakani, tayari imelipa madeni ya wafanyakazi sh. bilioni 14.23 za mishahara na sh. bilioni 42.4 zisizo za mishahara.

Alisema bado serikali ina madeni, lakini itayashughulikia na kuyalipa, huku akisisitiz kuwa, kila malipo yatafanywa baada ya kumalizika kwa uhakiki wa deni husika ili kuepuka kulipa madeni hewa.

Kuhusu suala la ajira, alisema kama ilivyo sera ya serikali ya awamu ya tano ya kukuza uchumi kupitia sekta ya viwanda, ajira nyingi zitapatikana kwa njia mbalimbali, lakini serikali nayo kwa miradi yake ya maendeleo, idadi kubwa ya Watanzania wataajiriwa kwa nyakati tofauti.

"Mbali na ajira 52,000, tunajenga reli ambapo Watanzania wengi wataajiriwa.Ni wazi bado tuna madeni, yakiwemo ya walimu, lakini hatuwezi kulipa yote kwa wakati mmoja, fedha zingine tunatekeleza miradi mbalimbali itakayotoa maelfu ya ajira kwa wananchi," alisema.

Alisisitiza kuwa lazima atatoa ajira katika mwaka ujao wa fedha kwa sababu asilimia 98, ya changamoto zilizokuwa zikiipa hasara serikali kutokana na malipo hewa kwa watumishi hewa na uwepo wa watumishi wenye vyeti vya kughushi, zimetatuliwa.

"Bado tunaendelea kuwatafuta watumishi wanaotumia ujanja kukaa kwenye nafasi walizonazo, wapo wanaojipunguzia umri kila mwaka, unaona wanazeeka, lakini hawastaafu, tutawasaka na kuwabaini," alisema Rais Magufuli.

Aidha, alisema kwa matatizo yaliyokuwepo, ambayo kila Mtanzania ni shahidi, serikali ilikuwa ikipoteza sh. bilioni 16, kila mwezi, huku kila mwaka ikipata hasara ya sh. bilioni 230.

Pia, alisema kuhusu maombi ya wafanyakazi kupitia hotuba ya Mei mosi ya Katibu Mkuu wa TUCTA, Dk. Yahaya Msigwa, kuhusu makato ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), hakuna namna nyingine zaidi ya kila mdaiwa kulipa.

Alisema bodi ya mikopo ina changamoto nyingi, ikiwemo baadhi ya wanufaika kutokulipa kwa wakati madeni yao, hivyo kuipa wakati mgumu taasisi hiyo kujiendesha, hivyo asilimia 15 iliyowekwa kisheria ni vyema ikasimamiwa.

Kuhusu ombi la kupanuliwa kwa Wizara ya Elimu, ambalo pia lilikuwemo kwenye hotuba ya Katibu Mkuu wa TUCTA, alisema suala hilo haliwezekani kwa sababu lengo la serikali yake ni kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Dk. Magufuli alisema serikali inaendelea kuyafanyia kazi mapendekezo ya TUCTA kuhusu kupunguza idadi ya mifuko ya hifadhi ya jamii kutoka iliyopo sasa hadi kufikia miwili, ili kuharakisha ulipaji wa mafao kwa wastaafu.

Aidha, aliagiza taasisi ambazo hazina mabaraza ya wafanyakazi, ziunde haraka kwa sababu ni maelekezo ya kisheria, ili matatizo ya wafanyakazi yajulikane na kushughulikiwa kwa utaratibu unaofahamika.

Rais Magufuli pia, alisema amepokea maombi ya wafanyakazi ya kuboreshwa kwa mfumo wa bima ya ajira, ili kusaidia wafanyakazi kulipwa mafao yao pale wanapositisha utumishi kabla ya umri wa kustaafu bila usumbufu wowote.

Katika sherehe hizo, viongozi mbalimbali wa ngazi za juu wa serikali, akiwemo Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu wake, Dk. Tulia Ackson,
mawaziri mbalimbali na wabunge, walihudhuria na kuahidi kutekeleza yote aliyoagiza Rais Magufuli kwenye maadhimisho hayo.

Katika hatu nyingine, Emmanuel Mohammed anaripoti kuwa, vyama vya wafanyakazi vimetakiwa kujikita zaidi kwenye kuwaelimisha na kuwahimiza wafanyakazi kutambua sheria za kazi na haki zao.

Mbali na hilo, vyama hivyo vimetakiwa kuendelea na juhudi za kuingiza idadi kubwa ya wafanyakazi kwenye vyama husika kwa lengo la kutetewa maslahi yao na kutatuliwa changamoto mbalimbali.

Hayo yalisemwa jana, Dar es Saalam, katika Uwanja wa Uhuru na mbunge wa Urambo, Margareth Sitta, wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei mosi).

Alisema ni jukumu la vyama hivyo kuhakikisha vinatatua changamoto zilizoko kwa wafanyakazi hao, ikiwemo mifumo ya mishahara duni.

“Lazima vyama hivyo vizungumzie mara kwa mara changamoto hizo kama vile makato ya kodi kubwa na unyanyasaji kwa wafanyakazi kwenye sekta binafsi,”alisema

Mbunge huyo alisema jana ilikuwa siku ya kuzungumzia masuala ya changamoto, ambazo wanazipata wafanyakazi na kuweka utamaduni wa kusemea matatizo ya wafanyakazi.

Kwa upande wake, Kaimu Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Kanda ya Dar es Saalam (TUCTA), George Faustine, alisema shirikisho hilo linaunga mkono hatua ya serikali kuwafukuza kazi wafanyakazi wenye vyeti feki.

Alisema suala la vyeti feki kwa wafanyakazi nchini ni janga kubwa na kwamba, sio kwa watumishi wa serikali tu, ambao wamefanya hivyo bali hata sekta binafsi.

“Haki hiyo inatokana na kwamba, mfumo uliokuwa awali wa kuajiri ni hafifu hivyo kuna haja ya kuboresha mfumo huo ili kuondoa janga hilo,”alisema.

Kaimu Mwenyekiti huyo wa kanda pia alitaja changamoto, ambazo zinawakumba wafanyakazi hao, ikiwemo kucheleweshewa fedha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Alizitaja zingine kuwa ni kuwacheleweshea mishahara walimu na kutowapandisha madaraja kwa wakati, ambapo hali hiyo inachangia kupunguza morali ya utendaji kazi. 

10 comments:

  1. Ndugu Wanaotafuta Mkopo

    Wewe katika matatizo yoyote ya fedha? Je, unataka kuanza biashara yako mwenyewe? Hii kampuni ya mkopo ilianzishwa Mashirika ya haki za binadamu duniani kote kwa madhumuni ya kusaidia maskini na watu wenye matatizo ya kifedha ya maisha. Kama unataka kuomba mkopo, kupata nyuma sisi na maelezo hapa chini ya barua pepe: elenanino0007@gmail.com

    jina:
    kiasi mkopo inahitajika:
    Mkopo Muda:
    Namba ya simu ya mkononi:

    Asante na Mungu awabariki
    kujiamini
    Bi Elena

    ReplyDelete
  2. Hello.
    Mimi ni Mr Rahel binafsi wakopeshaji mkopo ambao hutoa maisha wakati nafasi ya mkopo kwa watu binafsi, makampuni ya biashara, bima, nk Je, katika shida yoyote ya kifedha au katika haja ya mkopo wa kuwekeza au unahitaji mkopo kulipa bili yako kutafuta hakuna zaidi kama sisi ni hapa kufanya matatizo yako yote ya kifedha kitu cha zamani. Sisi kutoa kila aina ya mkopo katika dhehebu lolote fedha kwa kiwango cha 2% bila fee.I upfront wanataka kutumia kati hii kubwa ya kukufahamisha kwamba tuko tayari kukusaidia kwa aina yoyote ya mkopo kutatua kwamba tatizo.Kama yako ya kifedha ndiyo basi kupata nyuma sasa kupitia barua pepe (rahelcohranloan@gmail.com) kwa maelezo zaidi, wewe ni sana makala.

    ReplyDelete
  3. Benki ya Barclays PLC. Reino Unido Kwa maelezo zaidi ya 2% ni ya 2%.
    El monto varía kati ya US $ 3,000 mínimo y US $ 300,000,000 máximo.
    Regresse ahora ya utangulizi wa 2 wa saa.
    Wasiliana na electrónico: barclaysbank.plc421@gmail.com

    ReplyDelete
  4. Benki ya Barclays PLC. Uingereza Inatoa kila aina ya mikopo kwa kiwango cha 2%.Kiasi hutofautiana kati ya US $ 3,000 chini na US $ 300,000,000 upeo.Jisajili sasa kwa mkopo wako ndani ya masaa 2 ya idhini.Wasiliana nasi kwa barua pepe: barclaysbank.plc421@gmail.com

    ReplyDelete
  5. Je! Unahitaji mkopo wa haraka, mrefu au mrefu kwa kiwango cha riba cha chini
    chini ya 3%?

    Gregowenloanfirm1@gmail.com

    Tunatoa mkopo wa biashara:
    Mkopo wa kibinafsi:
    Mkopo wa nyumbani:
    Mkopo wa Auto:
    Mkopo wa mwanafunzi:
    Mkopo wa kuimarisha madeni: e.t.c.

    Haijalishi score.we yako ya mikopo ni uhakika katika kutoa nje
    huduma za kifedha kwa wateja wetu wengi duniani kote.
    Kwa vifurushi vyenye mikopo rahisi,
    Mikopo inaweza kusindika na kuhamishiwa kwa akopaye ndani
    muda mfupi iwezekanavyo.
     
    Ikiwa unahitaji kuwasiliana na mkopo haraka kupitia barua pepe:

    gregowenloanfirm1@gmail.com

    3% ya kuaminika mkopo kutoa uhakika.

    ReplyDelete
  6. WE OFFER ALL KIND OF LOANS - APPLY FOR AFFORDABLE LOANS.

    Are you a business man or woman? Are you in any financial mess or Do you need funds to start up your own business? Do you need a loan to start a nice Small Scale and medium business? Do you have a low credit score and you are finding it hard to obtain capital loan from local banks and other financial institutes?. Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com ( PergoCF@qualityservice.com ) PergoCF@gmail.com

    Our loans are well insured for maximum security is our priority, Our leading goal is to help you get the services you deserve, Our program is the quickest way to get what you need in a snap. Reduce your payments to ease the strain on your monthly expenses. Gain flexibility with which you can use for any purpose from vacations, to education, to unique purchases. Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com ( PergoCF@qualityservice.com ) PergoCF@gmail.com

    We offer a wide range of financial services which includes: Business Planning, Commercial and Development Finance, Properties and Mortgages, Debt Consolidation Loans, Business Loans, Private loans, Home Refinancing Loans with low interest rate at 1.00% per annul for individuals, companies and corporate bodies. Get the best for your family and own your dream home as well with our General Loan scheme. Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com ( PergoCF@qualityservice.com ) PergoCF@gmail.com

    WE OFFER ALL KIND OF LOANS - APPLY FOR AFFORDABLE LOANS.

    Please, contact us for more information: PergoCF@qualityservice.com ( PergoCF@gmail.com ) PergoCF@cheerful.com
    Kindly write us back with the loan information;
    - Complete Name:
    - Loan amount needed:
    - Loan Duration:
    - Purpose of loan:
    - City / Country:
    - Telephone:
    - How Did You Hear About Us:

    If you are interested to get a loan then kindly write us with the loan requirement. Please, contact us for more information: PergoCF@qualityservice.com ( PergoCF@gmail.com ) PergoCF@cheerful.com
    Yours Sincerely,
    Mrs. Ceren Kelly
    PergoCF@gmail.com
    PergoCF@qualityservice.com
    PergoCF@cheerful.com

    We look forward to hear from you ASAP

    Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com

    ReplyDelete
  7. WE OFFER ALL KIND OF LOANS - APPLY FOR AFFORDABLE LOANS.

    Are you a business man or woman? Are you in any financial mess or Do you need funds to start up your own business? Do you need a loan to start a nice Small Scale and medium business? Do you have a low credit score and you are finding it hard to obtain capital loan from local banks and other financial institutes?. Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com ( PergoCF@qualityservice.com ) PergoCF@gmail.com

    Our loans are well insured for maximum security is our priority, Our leading goal is to help you get the services you deserve, Our program is the quickest way to get what you need in a snap. Reduce your payments to ease the strain on your monthly expenses. Gain flexibility with which you can use for any purpose from vacations, to education, to unique purchases. Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com ( PergoCF@qualityservice.com ) PergoCF@gmail.com

    We offer a wide range of financial services which includes: Business Planning, Commercial and Development Finance, Properties and Mortgages, Debt Consolidation Loans, Business Loans, Private loans, Home Refinancing Loans with low interest rate at 1.00% per annul for individuals, companies and corporate bodies. Get the best for your family and own your dream home as well with our General Loan scheme. Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com ( PergoCF@qualityservice.com ) PergoCF@gmail.com

    WE OFFER ALL KIND OF LOANS - APPLY FOR AFFORDABLE LOANS.

    Please, contact us for more information: PergoCF@qualityservice.com ( PergoCF@gmail.com ) PergoCF@cheerful.com
    Kindly write us back with the loan information;
    - Complete Name:
    - Loan amount needed:
    - Loan Duration:
    - Purpose of loan:
    - City / Country:
    - Telephone:
    - How Did You Hear About Us:

    If you are interested to get a loan then kindly write us with the loan requirement. Please, contact us for more information: PergoCF@qualityservice.com ( PergoCF@gmail.com ) PergoCF@cheerful.com
    Yours Sincerely,
    Mrs. Ceren Kelly
    PergoCF@gmail.com
    PergoCF@qualityservice.com
    PergoCF@cheerful.com

    We look forward to hear from you ASAP

    Interested applicants should Contact us via email: PergoCF@cheerful.com

    ReplyDelete
  8. Barclays Bank PLC. United Kingdom Provide all types of loans at a rate of 2%.
    The amount varies between US $ 3,000 minimum and US $ 300,000,000 maximum.
    Register now for your loan within 2 hours of approval.
    Contact us by email: barclaysbank.plc421@gmail.com or call for more asistance:+13212578711

    ReplyDelete
  9. Hello...

    Dear Applicant, I am Mr.Favour Melody World Best Loan Offer Company LTD.. We are an international loan firm. It a financial opportunity at your door step We provide Business and personal loans etc. as long as it concerns financial assistance.. Apply today and you will get a loan from us.

    Apply Now for your very low interest rate of 2% loan!

    * We offer loan in EURO AND DOLLAR
    * Borrow between 5000USD to 50,000,000.00USD
    * Choose between 1 to 35 years to repay.
    * Flexible loan terms and conditions.
    * It a world of happiness with us bring back those joy of yours by applying for a loan with us today...

    All these plans and more, contact us now by email for more info.. ( favourworldbest990@outlook.com ) OR SMS US NOW +1518 621 2700

    Email us now: favourworldbest990@outlook.com

    Giving your world a meaning.

    Regards.

    World Best Loan Company Offer..

    ReplyDelete
  10. It’s obvious some patient with HERPES/HIV/CANCER have been enslaved to the antiviral and other supplementary Orthodox medicine just to help suppress the virus and not a cure. I have been with the virus since 2015 until I was introduce by a blogger who also narrated her story online on how she was cured of Genital Herpes after using Dr.Porepore Herbal Medicine. This is a year and 2 weeks since I was delivered from Herpes. All thanks to God for using this Great herbalist to heal me. I have promise to keep telling good about Dr.Porepore. Please fill free to share Your problems with him and don’t forget to tell him I did referred you to Him. Write him on His email: Dr.poreporehealinghome@gmail.com

    ReplyDelete