![]() |
| Mke wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, marehemu Abeid Amani Karume, Mama Fatma Karume, akiwaombea kura wagombea wa CCM wakati wa mkutano huo. |
![]() |
| Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) na Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati, Ramadhan Abdalla Shaaban, akihutubia kwenye mkutano huo. |
![]() |
| Dk Shein akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharibi, Unguja, Yussuf Mohamed Yussuf wakati wa mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali nao walikuwepo wakati wa mkutano huo |
![]() |
| Wananchi wakishangilia wakati wa mkutano huo |
![]() |
| Nyomi ya wananchi |
![]() |
| Nyomi |








No comments:
Post a Comment