Tuesday 29 September 2015

MWIGULU NCHEMBA APASUA ANGA MANYARA

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akihutubia umati wa wananchi katika mkutano uliofanyika kwenye jimbo la Kiteto mkoani Manyara
Wananchi waliohudhuria mkutano huo wakionyesha mabango yenye picha ya mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli
Nchemba akiendelea kumwaga sera za CCM wakati wa mkutano huo
Wananchi wakinyoosha mikono juu kuashiria kuunga mkono hotuba ya Nchemba
Nchemba akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye eneo la mkutano
Nchemba akiingia kwenye uwanja wa mkutano baada ya kushuka kwenye chopa
CCM oyeee. Ndivyo wanavyosema wananchi hawa wakati wa mkutano huo

No comments:

Post a Comment